Naibu Waziri Mkuu Dk. Doto Biteko asisitiza kuendeleza miradi ya jotoardhi kwa umeme endelevu Tanzania, akiahidi kuanza na megawati 10 Kiejo-Mbaka.

Naibu Waziri Mkuu Dk. Doto Biteko asisitiza kuendeleza miradi ya jotoardhi kwa umeme endelevu Tanzania, akiahidi kuanza na megawati 10 Kiejo-Mbaka.

Posted on:   Feb 21, 2024

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TGDC Prof. Shubi Kaijage akitoa maelezo baada ya kutembelea na kujionea jinsi kazi kubwa inavyoendelea katika mradi wa kipaumbele wa jotoardhi Ngozi uliop

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TGDC Prof. Shubi Kaijage akitoa maelezo baada ya kutembelea na kujionea jinsi kazi kubwa inavyoendelea katika mradi wa kipaumbele wa jotoardhi Ngozi uliopo mkoani Mbeya. Kwa kupata nondo nyingi zaidi tumsikilize Mwenyekiti akielezea kwa kirefu zaidi.

Posted on:   Sep 04, 2023

Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi

Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania Wakili Msomi Lucy Sondo akizungumza wakati akiwa katika ziara ya kukagua maendeleo ya mradi wa kipaumbele wa Jotoardhi Ngozi uliopo Mkoani, Mbeya. #TGDC Tunastahili Nishati Safi.

Posted on:   Sep 04, 2023